NJIA 3 ZA KUONDOA PASSWORD KWENYE SMARTPHONE KAMA UMEISAHAU BILA KUFLASH | TRICKS ZOTE

NJIA 3 ZA KUONDOA PASSWORD KWENYE SMARTPHONE KAMA UMEISAHAU BILA KUFLASH

Ki kawaida Android Wamekua wakiilinda simu yako dhidi ya Mikono Isiyo Salama, kwa Kukuwekea Option ya kuweka ‘Password’ na ‘Kuchora Pattern...

Ki kawaida Android Wamekua wakiilinda simu yako dhidi ya Mikono Isiyo Salama, kwa Kukuwekea Option ya kuweka ‘Password’ na ‘Kuchora Pattern’ Lakini Haimanishi kwamba Simu yako haitafaa Tena iwapo utasahau Password Zako. Kuna  Njia Kedekede za kutatua Tatizo Bila Hata ya Kutoa Sent 5 yako Ka Fundi.

  •  Njia mbili za kufungua simujanja yako kama unakumbuka maelezo ya akaunti yako ya google

Google wameimarisha Ulinzi zaidi Katika Matoleo yao mapya ya Android  lakini haimaanishi kwamba Hakuna njia nyingine ya Kufanya Smartphone Yako itumike tena Iwapo tu Unakumbuka Google account yako na Password zake.
  1. Ikiwa unakumbuka  Google account Yako, mara baada Ya kuingiza password mara nyingi Mpaka kufikia Kiwango cha mwisho, utaletewa Kidirisha kikikuonyesha Uingize Google account yako na password Kisha uta Log in. Mara baada ya kulog in Utakua tayari Umeshafungua smartphone yako na utapewa nafasi ya ku’reset’ Password yako Mpya.
  2. Reset simu yako kwa kutumia ‘ANdroid Device Manager‘ Ikiwa kama ulisha Iseti kwenye simu yako Hapo kabla.  Hapa ni rahisi Uta ‘log in’ kwenye google ‘ANDROID Device  Manager’ Kwa kutumia Kompyuta au Simu nyingine Yenye Internet,  Kisha utachagua Model ya simu ambayo Unataka kui reseti, Kisha utaingza password yako, na Utakua tayari umeshaifungua.  NB; Simu iliyojifunga Itatakiwa iwe na Access ya Internet,  Pia Utapoteza data zako zote kwenye Smartphone yako.
  •  Jinsi ya kureset simu yako kama haukumbuki maelezo ya akauti yako ya google

Hata kama huku set Google Android device manager Kwenye Simu yako bado utaweza kuitumia tena Simu yako Hatakama Haifunguki. Hili lina wezekana kwa kutumia kutumia Menu ya Recovery Mode ambayo utaipata kwa namna mbalimbali kulingana na simu yako kama ifuatavyo:
Kwa Samsung Galaxy
  1. Izime simu yako
  2. kisha bonyeza  button hizi Zote kwa pamoja  Home+volume down+Power button,  Shikilia mpaka simu itakapo waka.
  3. Yatatokea maandishi, hiyo ndio Custome Recovery menu
  4. Shusha mpaka chini na chagua Factory Restore
  5. Hapo utakua umesha i‘facory restore’ smartphone yako na unaweza kuitumia tena.
Kwa Watumiaji wa smartphones nyingine jaribu kubonyeza Mchanganyiko wa button Kati ya Hizi mpaka utakapo pata Mchanganyiko sahihi utakao fanya kazi kwenye simu uliyo nayo, Kisha Fuata hatua Kama hapo juu ku ‘reset’ simu yako
“home button+volume down”    AU               
“Volume Up + Volume Down + Power”    AU
Home+volume down+Power button.   AU
Volume Up + Camera.

[ Soma Jinsi ya kuondoa Patten au password kwenye simu yako bila kuflash ]
Iwapo simu yako Haita kubali Hizo codes, Jaribu kuGoogle Codes Za simu Husika, Ili upate Menu ya ‘Recovery mode’  ili uweze ku restore simu yako.

COMMENTS

Name

Adsense,4,Advertise,1,Android,14,Antivirus,6,Apple,2,Apps,1,Blog / Magazine,1,Blog /Magazine,1,Blogger,1,Blogger Template,5,Blogging,5,Business,3,CodeCanyon,2,Computer,3,Corporate,3,Earn Money,1,Facebook,2,Gadget,2,Games,1,Gbwhatsapp,1,Hack,1,Hacker,1,Hp,1,Htc,1,HTC One M9,1,Huawei,1,Instagram,5,Internet,2,iOS,3,iPhone,1,iThemes,1,Laptop,1,Lenovo,1,MacBook,1,Magazine,1,Microsoft Surface Book,1,Mobile,9,Modem,4,News,9,News & Magazine,1,Nonprofit,1,Operating Systems,3,Personal,1,Personal Blogger Template,1,Phones & Tablets,8,Plugins,3,Premium Blogger Template,5,Responsive blogger templates,4,Review,2,Root,2,Samsung,1,Security,1,Seebait,1,Seo,3,Serial key,5,Software,1,Softwares,2,Solutions,3,Sony,2,Tablets,1,Tecno,2,Telegram,1,ThemeForest,9,Tigo,1,Top 10,1,Tricks,7,Tricks And Tips,13,Tutorial,41,Ubuntu,2,Unlock,3,Utilities,1,Video,1,Videos,1,Vodacom,1,Webdesigns,1,Whatsapp,14,Window7,2,Window8,1,Windows,4,Windows 10,2,Windows 7,3,Windows 8,2,Windows 8.1,1,WordPress Themes,7,WordPress Tutorials,1,Youtube,3,
ltr
item
TRICKS ZOTE: NJIA 3 ZA KUONDOA PASSWORD KWENYE SMARTPHONE KAMA UMEISAHAU BILA KUFLASH
NJIA 3 ZA KUONDOA PASSWORD KWENYE SMARTPHONE KAMA UMEISAHAU BILA KUFLASH
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhO5-j8uFR0GeOW5eqTk1ikFgaCn4Qhhvu_XUYRPYJLlG-v9Gj5HMZ78RqNjq3dPzUW2yAvGxEtuWGla524CKITUi9ZFz5wNN33Y56R1HGZuDjiQiN4O7Br2qpsCD9VmSkYl0hb2At7oIo/s1600/android-device-manager.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhO5-j8uFR0GeOW5eqTk1ikFgaCn4Qhhvu_XUYRPYJLlG-v9Gj5HMZ78RqNjq3dPzUW2yAvGxEtuWGla524CKITUi9ZFz5wNN33Y56R1HGZuDjiQiN4O7Br2qpsCD9VmSkYl0hb2At7oIo/s72-c/android-device-manager.jpg
TRICKS ZOTE
http://zotekalitricks.blogspot.com/2016/12/njia-3-za-kuondoa-password-kwenye.html
http://zotekalitricks.blogspot.com/
http://zotekalitricks.blogspot.com/
http://zotekalitricks.blogspot.com/2016/12/njia-3-za-kuondoa-password-kwenye.html
true
1497846088060985027
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy