Jinsi ya kutumia simu yako kama modem bila kuwasha WIFI | TRICKS ZOTE

Jinsi ya kutumia simu yako kama modem bila kuwasha WIFI

Habari ndugu msomaji wa blog hii Riyadibhai.com leo nimekuja na jambo hili dogo kwa wanaolifahamu lakini ni kubwa kwa wasio lifahamu , kutok...

Habari ndugu msomaji wa blog hii Riyadibhai.com leo nimekuja na jambo hili dogo kwa wanaolifahamu lakini ni kubwa kwa wasio lifahamu , kutokana na kuhangaika kwa siku taku baada ya modem yangu kupata shida ndio nikapata akili hii ambayo naenda kukufahamisha na wewe ili usipate tabu kama niliyoipata mimi Tuanze.


ili uweze kutumia simu yako kama modem kwanza hakikisha unakuwa na USB WIRE kisha fuata hatua hizi

Chomeka USB WIRE kwenye computer/laptop kisha chomeka na kwenye simu yako nenda kwenye setting ya simu yako


kisha bonyeza sehemu iliyoandikwa More...
 Kisha bonyeza sehemu iliyoandikwa Tethering & portable hotspot  
Kisha weka alama ya Tiki kwenye sehemu iliyoandikwa USB tethering kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu kisha utasubiri kwa sekunde kama tano hivi ili mashine yako ifanye mchakato wake.

mpaka hapo sasa furahia Internet yako bila kuwa na modem, niachie maoni yako hapo chini kama imekusaidia au kama haijakusaidia makala hii nikuelekeze zaidi. share makala hii kwa marafiki kadri uwezavyo

 mpaka hapo

COMMENTS

Name

Adsense,4,Advertise,1,Android,14,Antivirus,6,Apple,2,Apps,1,Blog / Magazine,1,Blog /Magazine,1,Blogger,1,Blogger Template,5,Blogging,5,Business,3,CodeCanyon,2,Computer,3,Corporate,3,Earn Money,1,Facebook,2,Gadget,2,Games,1,Gbwhatsapp,1,Hack,1,Hacker,1,Hp,1,Htc,1,HTC One M9,1,Huawei,1,Instagram,5,Internet,2,iOS,3,iPhone,1,iThemes,1,Laptop,1,Lenovo,1,MacBook,1,Magazine,1,Microsoft Surface Book,1,Mobile,9,Modem,4,News,9,News & Magazine,1,Nonprofit,1,Operating Systems,3,Personal,1,Personal Blogger Template,1,Phones & Tablets,8,Plugins,3,Premium Blogger Template,5,Responsive blogger templates,4,Review,2,Root,2,Samsung,1,Security,1,Seebait,1,Seo,3,Serial key,5,Software,1,Softwares,2,Solutions,3,Sony,2,Tablets,1,Tecno,2,Telegram,1,ThemeForest,9,Tigo,1,Top 10,1,Tricks,7,Tricks And Tips,13,Tutorial,41,Ubuntu,2,Unlock,3,Utilities,1,Video,1,Videos,1,Vodacom,1,Webdesigns,1,Whatsapp,14,Window7,2,Window8,1,Windows,4,Windows 10,2,Windows 7,3,Windows 8,2,Windows 8.1,1,WordPress Themes,7,WordPress Tutorials,1,Youtube,3,
ltr
item
TRICKS ZOTE: Jinsi ya kutumia simu yako kama modem bila kuwasha WIFI
Jinsi ya kutumia simu yako kama modem bila kuwasha WIFI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkBm1qanDUWxEWXbW4xLk8ncq86j0IHpUihkEh0-QuICYcirBJQQxFDohmeC7weKUattz9mHwFnXH7pc01xPB1kaD-8cfqmEbxstRCtQ23asgjZaxigXMY2340foRxsFXI9KzM3mxzbxU/s1600/Prolong-Lithium-Ion-Li-Ion-Laptop-Cell-Phone-Battery-Life-1-600x300.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkBm1qanDUWxEWXbW4xLk8ncq86j0IHpUihkEh0-QuICYcirBJQQxFDohmeC7weKUattz9mHwFnXH7pc01xPB1kaD-8cfqmEbxstRCtQ23asgjZaxigXMY2340foRxsFXI9KzM3mxzbxU/s72-c/Prolong-Lithium-Ion-Li-Ion-Laptop-Cell-Phone-Battery-Life-1-600x300.jpg
TRICKS ZOTE
http://zotekalitricks.blogspot.com/2016/11/jinsi-ya-kutumia-simu-yako-kama-modem.html
http://zotekalitricks.blogspot.com/
http://zotekalitricks.blogspot.com/
http://zotekalitricks.blogspot.com/2016/11/jinsi-ya-kutumia-simu-yako-kama-modem.html
true
1497846088060985027
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy