Jinsi ya kutumia line zote kwenye modem isiyo fanyiwa Un-lock (flash) | TRICKS ZOTE

Jinsi ya kutumia line zote kwenye modem isiyo fanyiwa Un-lock (flash)

Habari yako msomaji wangu tuendelee kuhabarishana na kujuzana kuhusu haya mautundu na maujanja huku kwenye ulimwengu wa technology leo tusem...

Habari yako msomaji wangu tuendelee kuhabarishana na kujuzana kuhusu haya mautundu na maujanja huku kwenye ulimwengu wa technology leo tuseme basi ku un-lock modem zetu leo ni mwisho kabisaaa sababu tunayo njia itakayotufanya tutumie line ya voda kwenye modem ya tigo au line yeyote kwenye modem yeyote bila hata kuifanyia un-lock fuata maelekezo haya utapata faida ya somo hili

hatua za kufuata

  • unachotakiwa ni kuwa na modem yeyote na line ya mtandao wowote unaotumika kwenye nchi uliyopo

  • weka modem yako kwenye mashine yako

  • funga software ya modem yako

  • fungua program yako ya nokia pc

  • kisha bofya sehemu iliyo andikwa "creat internet connection" itakuletea ujumbe huu "no device connected"

  • bonyeza "sparner like icon" itakuonyesha modem yako

  • bofya tena kwenye icon ili uweze kuset (kupanga) APN za internet kama unavyopanga kwenye simu yako

  • bofya conect

  • itaunganisha na kukuonyesha kasi ya internet yako
Mpaka hapo endelea kuenjoy kwa kutumia modem yako bila kuiflash kama hujaelewa sehemu yeyote weka coment yako hapo chini ili niendelee kukusaidia

COMMENTS

Name

Adsense,4,Advertise,1,Android,14,Antivirus,6,Apple,2,Apps,1,Blog / Magazine,1,Blog /Magazine,1,Blogger,1,Blogger Template,5,Blogging,5,Business,3,CodeCanyon,2,Computer,3,Corporate,3,Earn Money,1,Facebook,2,Gadget,2,Games,1,Gbwhatsapp,1,Hack,1,Hacker,1,Hp,1,Htc,1,HTC One M9,1,Huawei,1,Instagram,5,Internet,2,iOS,3,iPhone,1,iThemes,1,Laptop,1,Lenovo,1,MacBook,1,Magazine,1,Microsoft Surface Book,1,Mobile,9,Modem,4,News,9,News & Magazine,1,Nonprofit,1,Operating Systems,3,Personal,1,Personal Blogger Template,1,Phones & Tablets,8,Plugins,3,Premium Blogger Template,5,Responsive blogger templates,4,Review,2,Root,2,Samsung,1,Security,1,Seebait,1,Seo,3,Serial key,5,Software,1,Softwares,2,Solutions,3,Sony,2,Tablets,1,Tecno,2,Telegram,1,ThemeForest,9,Tigo,1,Top 10,1,Tricks,7,Tricks And Tips,13,Tutorial,41,Ubuntu,2,Unlock,3,Utilities,1,Video,1,Videos,1,Vodacom,1,Webdesigns,1,Whatsapp,14,Window7,2,Window8,1,Windows,4,Windows 10,2,Windows 7,3,Windows 8,2,Windows 8.1,1,WordPress Themes,7,WordPress Tutorials,1,Youtube,3,
ltr
item
TRICKS ZOTE: Jinsi ya kutumia line zote kwenye modem isiyo fanyiwa Un-lock (flash)
Jinsi ya kutumia line zote kwenye modem isiyo fanyiwa Un-lock (flash)
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwcU4D4p8TuxOy0vFHpuXcbIBuDsLTqjZfMNSC0Xy-32ljGggRWPIWLeMYvGgIJPaz934gxbDYi7B8N__6P_GG-n0NkD4yKC5-vtvcrFPtZCsFdsLnEW_yE6jvnGzKte6cD0A_Brkf0MM/s1600/nokia+pc+suite.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwcU4D4p8TuxOy0vFHpuXcbIBuDsLTqjZfMNSC0Xy-32ljGggRWPIWLeMYvGgIJPaz934gxbDYi7B8N__6P_GG-n0NkD4yKC5-vtvcrFPtZCsFdsLnEW_yE6jvnGzKte6cD0A_Brkf0MM/s72-c/nokia+pc+suite.jpg
TRICKS ZOTE
http://zotekalitricks.blogspot.com/2016/11/jinsi-ya-kutumia-line-zote-kwenye-modem.html
http://zotekalitricks.blogspot.com/
http://zotekalitricks.blogspot.com/
http://zotekalitricks.blogspot.com/2016/11/jinsi-ya-kutumia-line-zote-kwenye-modem.html
true
1497846088060985027
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy